Promo planeta con hasta 60% dto  Ver más

Enviar a
Montevideo, Montevideo
0
  • argentina
  • chile
  • colombia
  • españa
  • méxico
  • perú
  • estados unidos
  • internacional

Selecciona tu país

América

Europa

Resto del mundo

portada Kolonia Santita: Laana YA Panthera Tigrisi (Swahili Edition) (en Swahili)
Formato
Libro Físico
Editorial
Idioma
Swahili
Encuadernación
Tapa Dura
Dimensiones
22.9 x 15.2 x 2.7 cm
Peso
0.75 kg.
ISBN13
9781477222966

Kolonia Santita: Laana YA Panthera Tigrisi (Swahili Edition) (en Swahili)

Enock Maregesi (Autor) · Authorhouse UK · Tapa Dura

Kolonia Santita: Laana YA Panthera Tigrisi (Swahili Edition) (en Swahili) - Maregesi, Enock

Libro Nuevo Importado
Envío: 13 a 18 días háb.
$ 3.526$ 2.115
-40%
Costos de importación incluídos en el precio ✅
Libro Nuevo

Quedan más de 100 unidades

$ 2.115
Llega entre el 24 Ago y el 01 Sep a Montevideo, Montevideo. Seleccionar ubicación

Reseña del libro "Kolonia Santita: Laana YA Panthera Tigrisi (Swahili Edition) (en Swahili)"

'Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi' ni hadithi ya kusisimua ya kijasusi na madawa ya kulevya iliyoandikwa na Enock Abiud Maregesi. Inazungumzia vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa Mataifa, ya kudhibiti madawa ya kulevya na ugaidi wa kimataifa, 'World Drugs Enforcement Commission' (WODEC) au Tume ya Dunia; na shirika kubwa la madawa ya kulevya la Kolonia Santita (CS-14) la Kolombia na Meksiko. Inaelezea, kwa kinagaubaga, jitihada za pamoja kati ya Tume ya Dunia, Marekani na Meksiko za kuwasaka na hatimaye kuwatia nguvuni viongozi nduli wa CS-14; na kuzuia shehena (kubwa) ya madawa ya kulevya na malighafi ya nyukilia: kwenda Afrika, Asia, Amerika, Ulaya - na kung'oa mizizi ya shirika la CS-14, lote, katika nchi za Hemisifi a ya Magharibi - na duniani kwa jumla. Hiki ni kitabu cha kwanza cha aina yake cha kimataifa katika Tanzania. Lengo lake si tu kukata kiu ya wapenzi wa riwaya za kipelelezi na kufufua mwamko wa usomaji wa vitabu; ni kuleta, hali kadhalika, ufahamu na burudani ya kimataifa kwa Watanzania, Wakenya na Waganda - na jamii nzima ya Afrika ya Mashariki inayozungumza Kiswahili - na walowezi wa jamii yote ya Kiswahili duniani.

Opiniones del libro

Preguntas frecuentes sobre el libro

Todos los libros de nuestro catálogo son Originales.
El libro está escrito en Swahili .
La encuadernación de esta edición es Tapa Dura.

Preguntas y respuestas sobre el libro

¿Tienes una pregunta sobre el libro? Inicia sesión para poder agregar tu propia pregunta.

Opiniones sobre Buscalibre

Ver más opiniones de clientes